Events
-
CYBER SECURITY AWARENESS FOR FINANCIAL INSTITUTION
EFL Staff attended a Cyber Security Awareness program focused on financial institutions. The session highlighted the growing risks of cyber threats, such as phishing and ransomware, and emphasized the importance of secure online practices. Employees participated in hands-on exercises to identify potential threats in simulated emails, enhancing their skills. The event reinforced the company’s commitment
-
WAJIBU KWA JAMII KATIKA TAASISI YA SARATANI YA OCEAN ROAD
Enterprise Finance Limited (EFL) imetoa msaada wa mahitaji mbalimbali katika Taasisi ya Saratani ya Ocean Road iliyopo Dar es Salaam. EFL imekuwa na utaratibu wa kugusa jamii kwa namna mbalimbali katika kipindi cha wiki ya huduma kwa wateja, ikiwemo mafunzo ya bure kwa wajasiliamali, zoezi la upandaji miti, mbio za hisani, kufanya usafi katika fukwe
-
SEMINA YA UWEKEZAJI NA USIMAMIZI WA FEDHA KWA WAFANYAKAZI NA WAFANYABIASHARA – ARUSHA
Enterprise Finance Limited (EFL) imetoa semina ya uwekezaji na usimamizi wa fedha kwa makundi ya watu waliojiajiri na walioajiriwa kwenye biashara,lengo ni kuwezesha washiriki kujua njia bora za kuwekeza kwenye biashara na masoko. Akizungumza katika semina hiyo iliyofanyika jijini Arusha Oktoba 5 mwaka huu, Mmoja wa wawezeshaji Prof.Goodluck Urassa ambaye ni Mwanzilishi na Mkurugenzi
-
NETHERLANDS TO EFL HOUSE
“We were delighted to warmly welcome visitors from the Netherlands who came to learn about EFL and its operations. It is indeed a great honor to host guests from abroad.” Chairman Enterprise Finance Limited was founded by Tanzanians dedicated to boost the financial inclusion of the people by developing demand-driven financial products and solutions. EFL