MKOPO WA VIKUNDI SAMBAMBA NA ELIMU KWA WAJASIRIAMALI

Timu ya EFLย #Arushabranchย imeanza kampeni ya kuwafikia wakazi wa Mkoa wa Arusha na kuwaelimisha juu ya huduma maalum kwa ajili yao ya ๐— ๐—ธ๐—ผ๐—ฝ๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐˜ƒ๐—ถ๐—ธ๐˜‚๐—ป๐—ฑ๐—ถ.

Jifunze zaidi ๐Ÿ‘‡

๐—ฉ๐—ถ๐—ด๐—ฒ๐˜‡๐—ผ ๐—ป๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐˜๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ช๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—ธ๐˜‚๐—ป๐—ฑ๐—ถ

โ€ข Wanakikundi inabidi wafahamiane vizuri

โ€ข Idadi ya wanakikundi ni 5 โ€“ 7

โ€ข Marejesho ni kuanzia kipindi cha wiki moja

โ€ข Mwanakikundi awe na biashara inayompatia kipato kwa siku, wiki au mwezi.

โ€ข Wanakikundi hapaswi wawe wa familia moja. Mfano: Mume na mke kwenye kundi moja.

โ€ข Kiasi cha Mkopo ni TZS 100,000 na kuendelea

โ€ข Wanakikundi wanaweza kudhaminiana au kutumia vitu vya ndani kama dhamana ya mkopo.

โ€ข Umri wa Mwanakikundi ni miaka 18 – 70

โ€ข Mwanakikundi awe na historia nzuri ya mikopo.

๐—ž๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฒ๐—น๐—ฒ๐˜‡๐—ผ ๐˜‡๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ, ๐—ง๐˜‚๐—ฝ๐—ถ๐—ด๐—ถ๐—ฒ ๐Ÿฌ๐Ÿฒ๐Ÿณ๐Ÿณ ๐Ÿฎ๐Ÿฎ๐Ÿฒ ๐Ÿต๐Ÿฒ๐Ÿฌ ๐—ฎ๐˜‚ ๐Ÿฌ๐Ÿณ๐Ÿฒ๐Ÿณ ๐Ÿญ๐Ÿญ๐Ÿฒ ๐Ÿฌ๐Ÿฌ๐Ÿด